Afya ni urithi wetu Leo tunasherehekea Siku ya Afya Duniani kwa kujitahidi kudumisha mwili na akili zetu kuwa salama.
Mwili wenye afya na nguvu , akili yenye utimamu ndio mtaji wetu.
Wacha tukumbuke kuzingatia lishe bora, mazoezi, na afya ya akili kila siku.
#AfyaYaVijana
#EYA #AfyaDuniani
#SikuYaAfyaDuniani

