World health day
Afya ni urithi wetu Leo tunasherehekea Siku ya Afya Duniani kwa kujitahidi kudumisha mwili na akili zetu kuwa salama. Mwili wenye afya na nguvu , akili yenye utimamu ndio mtaji wetu. Wacha tukumbuke kuzingatia lishe bora, mazoezi, na afya ya akili kila siku. #AfyaYaVijana#EYA #AfyaDuniani#SikuYaAfyaDuniani










